click below
click below
Normal Size Small Size show me how
Swahili Verbs 1
Lots of Swahili verbs (declinated + Infinitive forms) - 1
| English translation | Swahili translation |
|---|---|
| I can accept that | Naweza kukubali kwamba |
| she added it | aliongeza kuwa |
| we admit it | tunakubali |
| they advised him | walimshauri |
| I can agree with that | nakubaliana na hayo |
| she allows it | anaruhusu |
| we announce it | tunatangaza |
| I can apologize | naomba msamaha |
| she appears today | anaonekana leo |
| they arranged that | walipanga hivyo |
| I can arrive tomorrow | nitawasili kesho |
| she can ask him | anaweza kumuuliza |
| she attaches that | yeye huunganisha hiyo |
| we attack them | sisi huwashambulia |
| they avoid her | wamamuepuka |
| I can bake it | naweza kuipikia |
| she is like him | yeye ni kama yeye |
| we beat it | tuliipiga |
| they became happy | walifurahi |
| I can begin that | nawesza kuanza |
| we borrowed money | tulikopa pesa |
| they breathe air | wanapumua hewa |
| I can bring it | nitaileta |
| I can build that | naweza kuijenga |
| she buys food | yeye hununua chakula |
| we calculate it | sisi hufanya hesabu hii |
| they carry it | wao huibeba |
| they don't cheat | hawadangayi |
| she chooses him | yeye humchagua |
| we close it | sisi huifunga |
| he comes here | yeye huja hapa |
| I can compare that | naweza kuilinganisha |
| she competes with me | yeye hushindana nami |
| we complain about it | sisi hulalamika juu yake |
| they continued reading | waliendelea kusoma |
| he cried about that | alilia juu yake |
| I can decide now | naweza kuamua sasa |
| she described it to me | alinielezea kuhusu |
| we disagree about it | sisi hatukubaliani |
| they disappeared quickly | walitoweka haraka |
| I discovered that | niligundua kwamba |
| she dislikes that | yeye hapendi |
| we do it | sisi hufanya |
| they dream about it | wao huota juu yake |
| I earned | nimelipwa |
| he eats a lot | yeye anakula sana |
| we enjoyed that | sisi tulifurahia |
| they entered here | waliingia hapa |
| he escaped that | aliepuka hiyo |
| I can explain that | siwezi kueleza hayo |